Watu 130 wauawa na wapiganaji wa kijadi wakati hofu ikiongezeka Sudan Kusini
Wapiganaji wa kijadi wenye silaha wa kabila la Nuer wamewaua takribani watu 139 kutoka kabila hasimu wao, katika kijiji kimoja kusini mwa Sudan, amesema afisa mmoja wa serikali hii leo.