Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Eritrea imeishutumu Ethiopia kwa mashambulizi ya kijeshi!!

Eritrea imeishutumu Ethiopia kwa mashambulizi ya kijeshi!!

Eritrea imeishutumu Ethiopia kwa kufanya mashambulizi siku ya jumapili kwenye mpaka wanaozozania, lakini imedai majeshi yake yaliwafurusha na kuwauwa wanajeshi 10 wa Ethipia na kuwakamata wengine wawili.