Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wakusanyisha makabila yanayohasimiana Sudan Kusini kujadiliana amani

UM wakusanyisha makabila yanayohasimiana Sudan Kusini kujadiliana amani

UM umeripoti hali ya wasiwasi inaendelea kuselelea kwenye jimbo la Sudan la Abyei, miaka mitano baada ya makundi yaliokuwa yakihasimiana yalipokubaliana kutia sahihi mapatano ya amani yaliosaidia kusitisha Mapigano ya Pili ya Wenyewe kwa Wenyewe ya katika Sudan.