Baraza Kuu laitisha Mkutano Mkuu mwakani kuharakisha utekelezaji wa MDGs
Baraza Kuu la UM limepitisha azimio la kuitisha, katika mwezi Septemba mwakani, mkutano mkuu, utakaohudhuriwa na wawakilishi wote wa kimataifa, kwa madhumuni ya kusailia maendeleo kwenye utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs).