Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM akutana na viongozi wanaohudhuria COP15

KM akutana na viongozi wanaohudhuria COP15

KM Ban Ki-moon leo alianzisha mazungumzo ya kina, ya pande mbili, na viongozi kadha wa kadha wa kimataifa, ikijumlisha Waziri Mkuu wa Uchina Wen Jinbao. Alipokutana na waandishi habari Alkhamisi,