Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wakusanyishwa Geneva na UNCTAD kuzingatia ushirikiano wa mataifa ya Kusini kuhudumia maendeleo

Wataalamu wakusanyishwa Geneva na UNCTAD kuzingatia ushirikiano wa mataifa ya Kusini kuhudumia maendeleo

Shirika la UM juu ya Maendeleo na Biashara (UNCTAD) linalosimamia ukuzaji wa biashara miongoni mwa nchi zinazoendelea, ili kupiga vita ufukara na hali duni, limeanzisha mjini Geneva mkutano wa siku tatu, wenye makusudio ya kutafuta taratibu zinazofaa kuimarisha ushirikiano