Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baada ya mazungumzo kusimamishwa kwa muda Copenhagen, wajumbe wa kimataifa warudia tena majadiliano

Baada ya mazungumzo kusimamishwa kwa muda Copenhagen, wajumbe wa kimataifa warudia tena majadiliano

Majadiliano ya Mkutano Mkuu wa Copenhagen, au Mkutano wa COP 15, yalisimamishwa kwa muda baada ya nchi wanachama wa Kundi la G-77, linalowakilisha mataifa yanayoendelea, zilipoamua kutoshiriki kwenye mazungumzo, hususan nchi za KiAfrika. Wawakilishi wa bara la Afrika waliopo