14 Disemba 2009
Majadiliano ya Mkutano Mkuu wa Copenhagen, au Mkutano wa COP 15, yalisimamishwa kwa muda baada ya nchi wanachama wa Kundi la G-77, linalowakilisha mataifa yanayoendelea, zilipoamua kutoshiriki kwenye mazungumzo, hususan nchi za KiAfrika. Wawakilishi wa bara la Afrika waliopo