Mradi wa DOTS wafanikiwa kutibu TB watu milioni 36
Katika miaka 15 iliopita, watu milioni 36 wanaripotiwa walitibiwa, kwa mafanikio, maradhi ya kifua kikuu, au TB, ulimwenguni, kwa kutumia utaratibu mkali wa kuhudumia afya bora uliotayarishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).