Skip to main content

Shirika la Afya la UM laanzisha juhudi mpya kudhibiti matumizi ya tumbaku Afrika

Shirika la Afya la UM laanzisha juhudi mpya kudhibiti matumizi ya tumbaku Afrika

Imeripotiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwamba kuna haja kuu katika Afrika, kwa sasa hivi, kuanzisha haraka udhibiti wa matumizi ya sigara kwenye maeneo yao.