Uwekezaji maradufu kwenye uzazi wa majira unaweza kupunguza kwa nusu vifo vya uzazi ulimwenguni: UNFPA
Shirika la UM juu ya Udhibiti wa Idadi ya Watu (UNFPA) likishirikiana na Taasisi ya Guttmacher yamechapisha ripoti ya utafiti ulioendelezwa bia wenye kuthibitisha kwamba tunaweza kupunguza, kwa viwango vikubwa kabisa, vifo milioni nne ziada, vinavyotokea kila mwaka, vya watoto wachanga na vifo vya uzazi,