Mataifa yanayoendelea yamefikia makubaliano ya kupunguza ushuru wa bidhaa zao
Mataifa yanayoendelea, yalioridhia ule Mfumo wa Dunia wa Kufaidia Uhusiano wa Kibiashara (GSTP), ambayo yanakutana sasa hivi Geneva, kwenye kikao cha hadhi ya mawaziri, yameafikiana kupunguza kwa asilimia 20, viwango vya ushuru wa bidhaa wanazouziana baina yao,