Mtandao mpya wa kuwasaidia Viongozi Wanaume dhidi ya Udhalilishaji wa Kijinsia, waanzishwa rasmi na KM
Asubuhi ya leo, KM ameanzisha Mtandao wa Viongozi Wanaume wa kukomesha vitendo vya kutumia mabavu na vurugu dhidi ya wanawake, Mtandao utakaojumlisha wanaume vijana pamoja na wale wenye umri mkubwa, washiriki ambao waliahidi kufyeka karaha ya kutumia nguvu ya udhalilishaji wa kijinsia.