Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tume ya WHO yazuru Usomali kutathminia hali ya afya nchini

Tume ya WHO yazuru Usomali kutathminia hali ya afya nchini

Mnamo mwisho wa wiki iliopita, ujumbe maalumu wa hadhi ya juu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ulizuru Usomali kutathminia hali mbaya ya afya ilioselelea nchini humo.