Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Viwango vya gesi chafuzi duniani vinaripotiwa kufurutu ada

Viwango vya gesi chafuzi duniani vinaripotiwa kufurutu ada

Shirika la UM juu ya Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) kwenye ripoti yake mpya iliochapisha Ijumatatu, imeeleza kwamba kiwango cha ile hewa chafu inayotupwa kwenye anga, kinaeendelea kukithiri katika dunia.