IOM imetangaza kuwapatia IDPs wa Zimbabwe hifadhi na misaada ya dharura
Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuanzisha mradi mpya wa kuwasaidia kidharura wahamiaji wa ndani (IDPs) waliong\'olewa makazi katika Zimbabwe kupata hifadhi wanayohitajia kumudu maisha.