Matishio ya uharamia Usomali yamejizatiti bado licha ya kuwepo kwa manowari za kimataifa kwenye mwambao wa nchi
Asubuhi Baraza la Usalama liliitisha kikao cha hadhara kuzingatia ripoti ya karibuni ya KM juu ya hali ya uharamia na ujambazi wa baharini unaotendeka kwenye mwambao wa Usomali.