Ripoti ya UNFPA inasisitiza umuhimu wa wanawake katika kupiga vita mabadiliko ya hali ya hewa
Shirika la UM juu ya Udhibiti wa Idadi ya Watu (UNFPA) limeripoti Ijumatano kwamba, kwa kulingana na fafanuzi za taasisi yao, fungu kubwa la jamii ya kimataifa yenye kusumbuliwa, kwa uzito mkubwa kabisa na matatizo yanayoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa, huwa ni wanawake.