Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Global Fund itafadhilia nchi maskini dola bilioni 2.4 kupiga vita maradhi

Global Fund itafadhilia nchi maskini dola bilioni 2.4 kupiga vita maradhi

Taasisi ya Mfuko wa Kimataifa Dhidi ya UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria - inayoungwa mkono na UM - yaani Taasisi ya Global Fund, imeidhinisha leo hii msaada wa dola bilioni 2.4 kufadhilia miradi ya kupamabana na mardhi hayo matatu, katika nchi zenye maendeleo haba ya kiuchumi,