Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhamishaji usio khiyari wa Wasomali kutoka Djibouti waihuzunisha UNHCR

Uhamishaji usio khiyari wa Wasomali kutoka Djibouti waihuzunisha UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limetangaza kuhuzunishwa na uamuzi wa karibuni wa serikali ya Djibouti, wa kuwarejesha makwao Mogadishu, kwa nguvu, raia 40 wa Kisomali, kitendo kilichofanyika katika siku za Ijumatatu na Ijumanne, wiki hii.