Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Raia waliong'olewa makazi JKK wafarajiwa kihali na UM

Raia waliong'olewa makazi JKK wafarajiwa kihali na UM

Taarifa mpya zimefichuka karibuni, kuhusu mapigano ya kikabila yaliofumka mwezi Novemba, kwenye jimbo la Equateur, katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK).