Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO itafadhaliwa dozi milioni 50 za chanjo kudhibiti A/H1N1 kwa nchi maskini

WHO itafadhaliwa dozi milioni 50 za chanjo kudhibiti A/H1N1 kwa nchi maskini

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza hii leo kwamba kampuni ya GlaxoSmithKline, inayohusika na huduma ya matunzo ya afya, imetiana sahihi na UM, mapatano rasmi ya kufadhilia dozi milioni 50 za dawa ya kupambana na homa ya mafua ya A/H1N1 kimataifa.