Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchi maskini 31 zimedhurika na bei ya juu ya chakula: FAO

Nchi maskini 31 zimedhurika na bei ya juu ya chakula: FAO

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limehadharisha kwamba ulimwengu unakabiliwa na uhaba mkubwa, na wa hatari wa chakula, ulioathiri vibaya sana nchi 31.