Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama laidhinisha Ripoti ya Goldstone juu ya mashambulio ya Ghaza

Baraza la Usalama laidhinisha Ripoti ya Goldstone juu ya mashambulio ya Ghaza

Alkhamisi jioni, Baraza Kuu la UM limepitisha azimio la kuidhinisha ripoti ya tume ya uchunguzi kuhusu ugomvi uliosababisha mashambulio yaliotukia mwanzo wa mwaka, dhidi ya eneo liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza, ripoti ambayo iliwatia hatiani vikosi vya jeshi la Israel pamoja na wapiganaji wa KiFalastina, kwa makosa ya kukiuka pakubwa haki za binadamu dhidi ya raia.