Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mvua kali Kenya zimewanyima makazi maelfu ya raia

Mvua kali Kenya zimewanyima makazi maelfu ya raia

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imechapisha taarifa iliobainisha baadhi ya maeneo katika Kenya, hivi sasa yamepigwa na mvua kubwa kabisa, yenye taathira mbaya kieneo, licha ya kuwa sehemu kubwa ya nchi babdo inaendelea kusumbuliwa na athari za ukame uliotanda kwa muda mrefu huko katika kipindi cha karibuni.