Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Viongozi wa kidini na wasio wa kidini wanasihiwa na KM kuhusu ulazima wa kudhibiti kipamoja taathira za mabadiliko ya hali ya hewa

Viongozi wa kidini na wasio wa kidini wanasihiwa na KM kuhusu ulazima wa kudhibiti kipamoja taathira za mabadiliko ya hali ya hewa

Kadhalika, Ijumanne, KM Ban Ki-moon alihutubia mkusanyiko wa viongozi wa kidini na wale wasiohusiana na dini, katika Kasri ya Windsor, juu ya ulazima wa kushughulikia kipamoja matatizo yanayoletwa na mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni.