Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu milioni moja huuawa kila mwaka na maradhi ya chakula kisio salama, imehadharisha WHO

Watu milioni moja huuawa kila mwaka na maradhi ya chakula kisio salama, imehadharisha WHO

Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), wanaohusika na maradhi yanayosababishwa na chakula, wamekusanyika wiki hii mjini Geneva kujadilia hatari ya vyakula visio salama, na hadhi ya maisha bora yanayohitajika kwa umma wote wa dunia.