Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IAEA imepokea jawabu ya awali ya Iran kuhusu yuraniamu halisi kwa viwanda vya utafiti wa tiba

IAEA imepokea jawabu ya awali ya Iran kuhusu yuraniamu halisi kwa viwanda vya utafiti wa tiba

Mohamed ElBaradei, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UM juu ya Nishati ya Nyuklia kwa Matumizi ya Amani (IAEA) leo amepokea jawabu ya awali kutoka Serikali ya Iran kuhusu pendekezo linaloitaka madini ya yuraniamu halisi, inayotumiwa kwenye Kiwanda Cha Utafiti wa Matibabu cha Teheran kupelekwa nchi za nje kusafishwa.