Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICTR imeanzisha warsha wa mafunzo maalumu kwa walimu na wanafunzi kuhusu shughuli zake

ICTR imeanzisha warsha wa mafunzo maalumu kwa walimu na wanafunzi kuhusu shughuli zake

Ijumanne ya tarehe 27 Oktoba 2009, Mahakama ya Kimataifa juu ya Rwanda (ICTR) imeanzisha, kwa mara ya kwanza, Warsha Maalumu wa kuwahusisha walimu na wanafunzi wa skuli za sekandari kutoka wilaya za Rulindo na Musanze, ziliopo Rwanda Kaskazini,