Halaiki ya raia milioni moja ziada wang'olewa makazi kutoka maeneo ya kati na mashariki barani Afrika: OCHA
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti mnamo miezi sita iliopita, kutukia muongezeko halisi wa wahamiaji wa ndani (IDPs) milioni moja ziada katika mataifa ya Afrika Mashariki na Afrika ya Kati.