Ripoti ya IFAD inasema ushuru wa kutuma fedha Afrika kwa wafanyakazi waliopo nje ni mkubwa
Shirika la Mfuko wa Kimataifa juu ya Huduma za Maendeleo na Kilimo (IFAD) limechapisha ripoti mpya ya utafiti ulioendelezwa na taasisi hii juu ya mchango wa malipo ya fedha wanazotuma makwao wafanyakazi wa Afrka waliopo nchi za nje.