Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNAMID imelaani shambulio la vikosi vyake katika Darfur

UNAMID imelaani shambulio la vikosi vyake katika Darfur

UM umepokea ripoti zenye kueleza mnamo Ijumatatu usiku, saa 3:45 majira ya Sudan, majambazi watatu, wasiotambuliwa, waliochukua bunduki, walifyatua risasi kwenye kituo cha ulinzi cha Shirika la Vikosi vya Mchanganyiko vya UM-UA kwa Darfur (UNAMID) katika eneo la Kutum, Darfur Kaskazini na kumjeruhi askari mlinziamani mmoja.