UNICEF imeingiwa wahka na kuporomoka kwa afya ya watoto wa Pembe ya Afrika
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kuwa na wasiwasi juu ya kuongezeka kwa idadi ya watoto wanaodhurika na ukame na njaa sugu katika eneo la Pembe ya Afrika.