Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maisha ni magumu kwa watoto duniani, kwa sababu ya ukosefu wa ulinzi unaofaa, inasema ripoti ya UNICEF

Maisha ni magumu kwa watoto duniani, kwa sababu ya ukosefu wa ulinzi unaofaa, inasema ripoti ya UNICEF

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetangaza ripoti mpya, siku ya leo, kutokea mjini Tokyo, Ujapani kuhusu hifadhi ya watoto kimataifa.