Maisha ni magumu kwa watoto duniani, kwa sababu ya ukosefu wa ulinzi unaofaa, inasema ripoti ya UNICEF
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetangaza ripoti mpya, siku ya leo, kutokea mjini Tokyo, Ujapani kuhusu hifadhi ya watoto kimataifa.