Mapigano mapya Usomali huathiri zaidi raia, kuhadharisha UNHCR
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti mfumko wa mapigano ya karibuni katika jimbo la Kati-Kusini la Usomali yamechochea tena wimbi la wahamiaji wapya wa ndani walioamua kuelekea maeneo jirani kutafuta hifadhi.