Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapigano mapya Usomali huathiri zaidi raia, kuhadharisha UNHCR

Mapigano mapya Usomali huathiri zaidi raia, kuhadharisha UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti mfumko wa mapigano ya karibuni katika jimbo la Kati-Kusini la Usomali yamechochea tena wimbi la wahamiaji wapya wa ndani walioamua kuelekea maeneo jirani kutafuta hifadhi.