Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vietnam yachukua madaraka ya kuongoza Baraza la Usalama kwa Oktoba

Vietnam yachukua madaraka ya kuongoza Baraza la Usalama kwa Oktoba

Kuanzia siku ya leo, Vietnam imekabidhiwa Uraisi wa Baraza la Usalama kwa mwezi Oktoba. Balozi wa Kudumu wa Vietnam katika UM, Le Luong Minh, sasa hivi anashauriana na wajumbe wa Baraza la Usalama juu ya ratiba ya mwezi huu kuhusu shughuli zao.

Ajenda kamili ya Baraza la Usalama kwa mwezi Oktoba inatazamiwa kutangazwa rasmi Ijumaa ya kesho.