Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtetezi wa haki za binadamu anasema mzozo wa Usomali ni msiba mkubwa wa kiutu ulimwenguni

Mtetezi wa haki za binadamu anasema mzozo wa Usomali ni msiba mkubwa wa kiutu ulimwenguni

Baraza la Haki za Binadamu linalokutana Geneva wiki hii, limearifiwa na Mtaalamu Huru juu ya haki za binadamu kwa Usomali, ya kwamba hali katika taifa hili la Pembe ya Afrika ni miongoni mwa mizozo ya kiutu mibaya mno iliojiri katika ulimwengu.