Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa kihistoria kupiga vita H1N1 umeanzishwa na mashirika ya UM katika Zimbabwe

Mradi wa kihistoria kupiga vita H1N1 umeanzishwa na mashirika ya UM katika Zimbabwe

Kwenye warsha wa siku mbili, uliomalizika Zimbabwe leo hii, kulipitishwa mradi wa kihistoria wenye makusudio ya kuimarisha uwezo wa kukabiliana na maambukizi ya janga la homa ya mafua ya A/H1N1 ya 2009, hususan katika nchi maskini.