Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP/Taasisi ya Mradi wa Vijiji vya Milenia zaungana kupunguza wenye njaa na utapiamlo Afrika

WFP/Taasisi ya Mradi wa Vijiji vya Milenia zaungana kupunguza wenye njaa na utapiamlo Afrika

Kadhalika, mapema wiki hii Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP), likijumuika na mpango wa maendeleo unaoungwa mkono na UM, unaoitwa Mradi wa Vijiji vya Milenia, yameanzisha bia mradi mwengine mpya unaojulikana kama mradi wa "maeneo huru dhidi ya ukosefu wa chakula cha kutosha" utakaotekelezewa vijiji 80 katika nchi 10 za Afrika, kusini ya eneo la Sahara.