Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utata wa kwenye mapigano ya kisiku hizi unakwamisha huduma za UNHCR, anasema Guterres

Utata wa kwenye mapigano ya kisiku hizi unakwamisha huduma za UNHCR, anasema Guterres

Kwenye hotuba ya ufunguzi wa kikao cha 60 cha bodi la utawala la Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR), Kamishna Mkuu wa Taasisi hiyo, Antonio Guterres, alisema kuongezeka kwa mizozo na vurugu yenye utata, isiowahi kushuhudiwa katika miaka iliopita, hali hiyo imezusha mazingira yenye kuhatarisha zaidi zile juhudi za mashirika ya UM za kuokoa maisha na kunusuru waathirika wa