OCHA inasema hali Yemen Kaskazini inazidi kuwa mbaya
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti hali katika jimbo la Kaskazini la Yemen, la Sa\'ada, na katika maeneo jirani, inaendelea kuharibika kwa sababu ya kushtadi kwa mapigano baina ya vikosi vya usalama vya Yemen na makundi ya wapinzani ya Al Houthi.