WHO yatangaza taarifa mpya ya dawa ya kuzuia virusi vya A/H1N1
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kwamba uzoefu uliopatikana kimataifa kwenye huduma za kutibu janga la homa ya mafua ya A/H1N1 umethibitisha umuhimu kwa mgonjwa kupata matibabu ya mapema kwa kutumia zile dawa za kupambana na virusi vya maradhi, zinazoitwa oseltamivir na zanamivir,