Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO inasema njaa imekithiri Afrika Mashariki

FAO inasema njaa imekithiri Afrika Mashariki

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limetangaza kwamba hali mbaya ya ukosefu wa chakula katika eneo la Pembe ya Afrika itayalazimisha mashirika ya kimataifa kukithirisha mchango wao wa chakula, kwa umma muhitaji wa eneo, umma ambao idadi yao inaendelea kukithiri.