Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kwenye mazungumzo na Mkuu wa UA, KM amerudia ahadi ya UM kuisaidia AMISOM Usomali

Kwenye mazungumzo na Mkuu wa UA, KM amerudia ahadi ya UM kuisaidia AMISOM Usomali

Ijumaa KM Ban Ki-moon alizungumza,kwa simu, na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (UA), Jean Ping kuhusu shambulio la kujitoa mhanga liliotukia Alkhamisi kwenye makao makuu ya vikosi vya amani vya AMISOM mjini Mogadishu.