Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO imekaribisha kwa mikono miwili misaada ya dawa kinga dhidi ya H1N1 kutoka mataifa tisa

WHO imekaribisha kwa mikono miwili misaada ya dawa kinga dhidi ya H1N1 kutoka mataifa tisa

Mataifa ya Marekani, Australia, Brazil, Ufaransa, Utaliana, New Zealand, pamoja na Norway, pamoja na Usweden na Uingereza yameripotiwa kuchangisha msaada wa dawa ya chanjo kinga dhidi ya homa ya mafua ya A/H1N1, mchango ambao utasaidia pakubwa kuhudumia umma wa kimataifa.