Skip to main content

UNCTAD inasema FDI kwa 2009 inaendelea kupungua kimataifa

UNCTAD inasema FDI kwa 2009 inaendelea kupungua kimataifa

Shirika la UM juu ya Biashara na Maendeleo (UNCTAD) limewasilisha, kutoka Geneva, Alkhamisi ripoti yake mpya iliozingatia uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni (FDI) kimataifa.