Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Aliyekuwa ofisa wa serikali Rwanda akiri shtaka la makosa ya vita

Aliyekuwa ofisa wa serikali Rwanda akiri shtaka la makosa ya vita

Michael Bagaragaza, aliyekuwa mkuu wa ofisi ya viwanda vya chai katika Rwanda leo amekiri shtaka la makosa ya jinai ya vita baada ya kutuhumiwa kushiriki kwenye mauaji ya halaiki nchini mwao katika 1994.