Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Haki za Binadamu linazingatia athari za taka za sumu kwa raia Cote d'Ivoire

Baraza la Haki za Binadamu linazingatia athari za taka za sumu kwa raia Cote d'Ivoire

Mkariri Maalumu mwenye kutetea haki za binadamu, Olechukwu Ibeanu, amewasilisha ripoti mbele ya Baraza la Haki za Binadamu linalokutana Geneva, iliozingatia athari za taka za sumu zilizotupwa na makampuni ya kigeni katika Cote d\'Ivoire mnamo mwezi Agosti 2006.