Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Njaa imekithiri duniani na kunahitajika msaada ziada kukidhi mahitaji ya chakula, kuhadharisha WFP

Njaa imekithiri duniani na kunahitajika msaada ziada kukidhi mahitaji ya chakula, kuhadharisha WFP

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) leo limetoa ripoti iliotahadharisha juu ya kukithiri kwa matatizo ya chakula katika ulimwengu, miongoni mwa umma wenye njaa.