Mabwawa ya maji ya Ghaza yahatarishwa kuporomoka
Mabwawa ya maji yaliopo chini ya ardhi, ambayo WaFalastina milioni 1.5 wanaoishi katika eneo liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza hutegemea kwa kilimo na matumizi, kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) mabwawa haya yanakaribia kuporomoka.